Mon, 14 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa FC Pyramids, Fiston Mayele amemshukuru Mtumishi wa Dini Boniphace Mwamposa kwa kipindi chote alichokuwa Tanzania.
Katika Chapisho lake leo Agosti 14 Mayele ameandika;
"Napenda kumshukuru Apostle Mwamposa kwa maombi yake juu yangu na familia yangu katika kipindi hiki chote nilichokuwepo hapa Tanzania. Hakika amekua mtu muhimu sana kwangu. Mungu azidi kumbariki Baba Mwamposa".
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: