Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Mayele aitosa Yanga safari ya Malawi

Mayele Congo Msk Mayele aitosa Yanga safari ya Malawi

Wed, 5 Jul 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Mapema leo asubuhi kikosi cha #Yanga kimeondoka Tanzania kwenda nchini Malawi kwenye mualiko maalum wa serikali ya taifa hilo itakapo adhimisha siku ya Uhuru.

Wananchi wakiwa Airport ya Kimataifa ya Mwl. Julius Nyerere waliongozana na usajili wao mpya Nickson Kibabage kwenda kwenye mualiko huo wa heshima.

Hata hivyo wapo baadhi ya Mastaa wao ambao hawakuwepo kwenye msafara huo. @mayelefiston ni miongoni mwa majina makubwa ya #Yanga ambayo waandishi walimtafuta Airport lakini hakuwepo.

Siku za hivi karibuni kumeibuka tetesi zinazomuhusu Fiston Mayele kuondoka Yanga licha ya kuendelea kuboreshewa Mkataba.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: