Thu, 20 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mlinzi Mpya wa kulia wa klab ya Yanga raia wa Ivory Coast Yao Kouassi amepewa jezi namba 4.
Jezi namba 4 hapo awali ilikuwa ikivaliwa na Kiungo Mkabaji raia wa Congo DR Yannick Bangala.
Yao Attohoula amesajiliwa na Yanga kutokea ASEC Mimosas na kitendo hicho kinaashiria mwanzo mpya kwa Yannick Bangala anaetajwa kutolewa kwa Mkopo Singida FG.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: