Tue, 18 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wakati kila kukicha vilabu vikipigiwa kelele kuhakikisha vinajiendesha pasipo kutegemea wafadhili.
Mwenyekiti wa Simba SC Murtaza Mangungu amesema ni ngumu kwa Klabu kujiendesha kupitia mapato pekee pasipo pesa za ziada.
Msikilize Mangungu akieleza ugumu huo kwenye Video hapa chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: