Tue, 18 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wakati Yanga ikibeba mataji ya ndani mara mbili mfululizo na kuaminika kuwa ndio Timu yenye wachezaji wa viwango kwa sasa hapa Tanzania.
Hali ni tofauti kwa watani zao wa jadi Klabu ya Simba SC ambapo kupitia Mwenyekiti wa Klabu Murtaza Mangungu ambae aliulizwa anamtamani mchezaji gani kutokea Yanga na majibu yake yaliwashangaza wengi.
Msikilize mangungu kwenye Video hapa chini akijibu swali hilo;
Je Mwenyekiti yuko sahihi? tupe maoni yako
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: