Tue, 29 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Timu ya Yanga leo Agosti 29 wanashuka Dimbani kucheza mchezo wao wa Ligi dhidi ya JKT Tanzania.
Yanga wamecheza mchezo mmoja wa Ligi dhidi ya KMC ambao waliibuka na ushindi wa mabao 5-0.
JKT Tanzania wamepanda daraja kutoka Championship msimu huu na mchezo wao wa kwanza waliibuka na ushindi wa bao 1-0 ugenini dhidi ya Namungo.
Yanga wanahitaji alama tatu ili kijiweka kileleni mwa msimamo wa Ligi sambamba na timu za Azam FC na Simba SC.
Hiki hapa Kikosi cha Yanga kinachoanza mchezo wa leo;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: