Fri, 28 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kuna siri gani tena, Mwendo wa kukunja bukta Sasa kwa Mastaa wa Yanga huko AVIC Town?
Mwanzo ilizoeleka kwa Jesus Moloko na tephen Aziz KI, lakini kwa sasa idadi imeongezeka kwa nyota wapya waliosajiliwa ndani ya kikosi hicho
Kibabage
Pacome
Moloko
Aziz ki ( huyu ndio Mwalimu wao)
Je Msomaji unadhani kuna siri gani nyuma ya matukio ya wachezaji hawa? tupe maoni yako
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: