Wed, 2 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Jumla ya makocha wa kigeni waliopo kwenye Ligi yetu ni 9, nani atatoboa miongoni mwa hawa na kumaliza msimu ?
1. Miguel Gamond - Yanga
2. Robert Oliviera - Simba
3. Youssouph Dabo - Azam
4. Hans Van Der Pluijm - Singida BS
5. Cedric Kaze - Namungo
6. Goran Kopunovic - Kitayosce
7. Abdulhamid Moallin - KMC
8. Melis Medo - Dodoma Jiji
9. Mwinyi Zahera - Coastal Union.
Je unadhani Kocha gani atatoboa msimu ujao, au nani atakuwa wa kwanza kutimuliwa?
Tupe maoni yako
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: