Tue, 18 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha Zoran Maki ameondoka Al Ittihad mara moja baada ya kukaa kwa msimu nchini Misri.
Zorab Maki akiwa na Al Ittihada limaliza katika nafasi ya 8 kwenye Ligi Kuu iliyomalizika siku kadhaa zilizopita.
Zoran aliifahamisha bodi kuwa anataka kurejea nchini mwake na kwamba hatarejea tena.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: