Mon, 14 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya kudaka penati tatu dhidi ya Yanga katika mchezo wa Fainali ya Ngao ya Jamii Uwanja wa Mkwakwani Jijini Tanga.
Gwiji wa Bongo Fleva na Shabiki kindakindaki wa Simba SC, Joseph Haule "Proffessor Jay" Kupitia ukurasa wake wa Instagram amemwagia sifa Mlinda Mlango wa Simba SC Ally Salim kw kuandika;
"Man of the Match"
"Leo umejua kutuheshimisha wekundu wa msimbazi"
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: