Mon, 3 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Tetesi kutoka katika Klabu ya Yanga zinasema Kiungo wa Singida FG, Yusuph Kagoma ni mali halali ya Yanga SC.
Tetesi kutoka katika Klabu ya Yanga zinasema Kiungo wa Singida FG, Yusuph Kagoma ni mali halali ya Yanga SC. Mkataba wa miaka miwili ulishasainiwa na endapo kuna Klabu inamhitaji ni Yanga pekee wenye uwezo wa kumuuza au kuruhusu arejeshe pesa za Usajili alizopewa yeye pamoja na klabu yake ya Singida FG.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: