Sun, 6 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mtangazaji wa Clouds fm, Prisca Kishamba amesema timu ya Simba SC inauhusiano mzuri sana na Vyombo vya Habari Ukilinganisha na Yanga Ndio maana kila media kubwa imelipigia promo Tamasha la Simba day linalofanyika leo Agosti 6 katika Uwanja wa Mkapa Jijini Da es Salaam.
Akizungumza Kishamba amesema;
"Hata usiku wa manane ukumpigia simu, Ahmed Ally anapokea hata kama kalala basi akiamka akakuta missed call lazima akutafute"
Tofauti na Young Africans sports club, tamasha lao halikupigiwa promo sana na vyombo vya habari kwa sababu hakuna uhusiano mzuri na baadhi ya media"
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: