Wed, 2 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wakati Simba ikiendelea kuhaha juu ya upatikanaji wa golikipa mpya wa kikosi hicho klabu ya Singida Fountain Gate imekamilisha usajili wa aliyekuwa golikipa wa klabu ya Simba Beno Kakolanya kama mchezaji huru.
Beno atatangazwa siku ya leo Agosti 2 kwenye siku maalumu kwa wana Singida Foutain gate na mambo yote yamekamilika.
Je Simba walifanya makosa kuachana na Beno Kakolanya? tupe maoni yako
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: