Baada ya safari ya kikosi cha Yanga kuelekea jijini Lubumbashi nchini DR Congo kuingia dosari baada ya kukwama Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere namba tatu kwa saa 12, hatimaye kikosi hicho kimefanikiwa kuondoka.
Yanga imekwenda Lubumbashi kumalizana na wapinzani wao TP Mazembe katika mchezo wa mwisho wa Makundi wa Kombe la Shirikisho Afrika.
Tayari kikosi hicho chenye wachezaji 21, benchi la ufundi na viongozi waandamizi wa klabu kimeshawasili Lubumbashi.
1. Metacha Mnata
2. Eric Johora
3. Djuma Shaban
4. Kibwana Shomari
5. Lomalisa Mutambala
6. Ibrahim Bacca
7. Bakari Mwamnyeto
8. Dickson Job
9. Yannick Bangala
10. Denis Nkane
11. Mudathir Yahya
12. Salum Abubakary
13. Zawadi Mauya
14. Jesus Moloko
15. Farid Mussa
16. Tuisila Kisinda
17. Clement Mzize
18. Stephanie Aziz Ki
19. Kennedy Musonda
20. Fiston Mayele
21. Mamadou Doumbia.