Thu, 13 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
linda lango wa zamani wa Yanga na Rayon Sports ya Rwanda, Ramadhan Kabwili amesema katika makuzi yake ya soka amewahi kufanya mazoezi na magolikipa wote wakubwa na wazuri nchini na ndicho kinachomfanya leo hii anakua bora sana.
Kabwili amesema anavutiwa zaidi na mlinda lango wa klabu ya Yanga Djigui Diarra namna ambavyo anacheza akiwa langoni na anawafundisha makipa wetu kucheza kisasa zaidi.
"Nimepata nafasi ya kufanya mazoezi na magolikipa wengi wazuri na wakogwe Tanzania isipokua Mwameja, kuna vitu vizuri nimenipata kwao".
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: