Thu, 24 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Uongozi wa klabu ya KMC umewaomba radhi wapenzi na mashabiki wake baada ya kuchabangwa mabao 5-0 na Yanga katika mchezo wa ligi kuu uliopigwa uwanja wa Azam Complex jana.
Taarifa iliyotolewa na timu hiyo mapema leo, imebainisha kuwa wamekubali kipigo hicho ni kikali lakini hayakuwa matarajio yao.
KMC sasa inaanza maandalizi ya mchezo wa ligi kuu utakaofuata dhidi ya JKT Tanzania ambao utapigwa Septemba 15.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: