Fri, 11 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha Jamhuri kihwelu amesema kuna haja kwa shirikisho la Soka Tanzania kupandisha kiingilio katika mchezo wa kesho ili kuepusha vurugu kwa mashabiki.
Kocha Jamhuri kihwelu amesema kuna haja kwa shirikisho la Soka Tanzania kupandisha kiingilio katika mchezo wa kesho ili kuepusha vurugu kwa mashabiki. Julio amesema kuna haja ya kuweka kiingilio cha chini Elfu 20 na cha juu Elfu 50 ili kuwe na ustaarabu mzuri wa kuingia uwanjani katika mchezo wa Yanga dhidi ya Simba hapo kesho.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: