Tue, 18 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wakati Simba wakiwa hawajaweka wazi sababu za Kocha wao Mkuu Mkuu Mbazil Roberto Oliviera "Robertinho" kuachana na Timu ikiwa Kambini Uturuki na kurudi kwao Brazil.
Mchambuzi wa Michezo kutoka EFM, Jemedari Said amesema Simba mambo yao mengi hayako katika mpangilio na yanaweza kuwa chanzo cha kuathiri maanadalizi yao kuelekea msimu mpya 2023/24.
Msikilize Jemedari Said kwa kirefu katika Video hapa chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: