Mon, 24 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais wa Yanga Eng. Hersi Saidi @caamil_88 akiwa Uwanja wa kimataifa wa Kilimanjaro akimpojea Mgeni wake beki wa klabu ya PSG na timu ya Taifa ya Morocco @achrafhakimi
Rais wa Yanga Eng. Hersi Saidi @caamil_88 akiwa Uwanja wa kimataifa wa Kilimanjaro akimpojea Mgeni wake beki wa klabu ya PSG na timu ya Taifa ya Morocco @achrafhakimi Hakimi ametua nchini akiwa na rafili zake na imetajwa kuwa nyota huyo atakuwa nchini kwa wiki moja huku wakitembelea vivutio mbali mbali vya utalii nchini.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: