Mon, 3 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya mchezo wa fainali kumalizika Nahodha msaidizi wa Yanga @jobdick05 ameuzungumzia mchezo na alipoulizwa kuhusu mshikaji wake Feisal ambaye walikuwa pamoja kikosini msimu uliopita amesema amempa pole lakini pia amempa hongera.
Msikilize Job kwenye Video hapa Chini akizungumza;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: