Fri, 15 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Yanga kwasasa wapo nchini Rwanda na wamefikia katika hoteli ya kimataifa inayofahamika kama Marriott Hotel iliyo katika Mji wa Kigali.
Hotel hiyo kwa mujibu wa taarifa kutoka Rwanda gharama yake kulala kwa siku chumba kimoja Shilingi 629,507.
Hoteli hiyo inapatikana mahitaji yote muhimu ikiwemo bwawa la kuogelea, Gym na Ukumbi wa Mikutano na eneo la kufanyia mazoezi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: