Fri, 11 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha wa Yanga, Miguel Gamondi mapema tu jana kabla ya mchezo kuanza alitinga uwanjani akiwa na wasaidizi wake Mussa Nd’ew akija kuwasoma wapinzani wao ambapo muda mwingi alikuwa akiandika vitu kwenye kitabu kidogo alichokuwa nacho.
Gamondi alikuja maalum kuwasoma wapinzani wao ambao watakutana nao Jumapili Agosti 13, katika Uwanja wa CCM Mkwakwani.
Kocha Gamondi alisema
“Tulitengeneza nafasi nyingi sana za kufunga dhidi ya Azam lakini hatukuzitumia ipasavyo, hili ni tatizo, lazima fainali tuwe makini na nafasi tunazozipata, nimeliona hili na naenda kulifanyia kazi,”
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: