Thu, 1 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa Yanga Feisal Salum katika mambo aliyoyazungumzia ni pamoja na yeye kutotaka kurudi tena yanga huku akikitaja kitendo cha Msemaji wa Yanga, Ally Kamwe kumtusi hadharani mama yake kwa kumfananisha na andazi.
Akizungumza kwa uchungu Feisal anasema;
"Kisa kununuliwa macho matatu unakuja hadharani kumtusi mama yangu, yani uitukane pepo yangu halafu nije kukaa na wewe mezani tuzungumze, sio rahisi kwa dharau ulionionesha tunazungumza kitu gani"
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: