Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Fahamu kwa nini Yanga imekuwa ya 3 kwa ubora Afrika

Yanga Mwed Ngao Fahamu kwa nini Yanga imekuwa ya 3 kwa ubora Afrika

Thu, 14 Sep 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Shirikisho la kimataifa la kutunza Takwimu na Historia za mpira Duniani ‘IFFHS’ limetoa Orodha ya Timu 10 bora barani Afrika kwa mwaka mzima (kuanzia Septemba 1, 2022- Agosti 31, 2023).

Yanga imeshika nafasi ya 3 nyuma ya Al-Ahly na Wydad Casablanca.

Duniani Yanga ipo nafasi ya 63, juu ya Chelsea (72).

Vgezo vilivyotumika;

Al Ahly Cairo — 01

Champions league - Bingwa

Premier league - Bingwa

Wydad Casablanca — 02

Champions league - Fainali

Premier league - mshindi wa pili

Young Africans — 03

Premier league - Bingwa

Confederations cup - Fainali

FA cup - Bingwa

Pyramids — 04

Premier league - Mshindi wa pili

Confederation cup - Nusu fainali

Mamelodi Sundowns — 05

Premier league - Bingwa

Champions league - Nusu fainali

FAR Rabat — 06

Premier league - Bingwa

Confederation cup - Nusu fainali

Raja Casablanca — 07

Champions league - Nusu fainali

FA cup - Fainali

Zamalek — 08

Premier league - Mshindi wa pili

Champions league - 16 bora

FA cup - Bingwa

CR Belouzdad — 09

Premier league - Bingwa

Champions league - Nusu fainali

USM Alger — 10

Confederations cup - Bingwa

Kwa mujibu wa shirika hilo lenye makazi yake Nchini Switzerland hutoa alama kwa kuzingatia mashindano yote.

◉ Champions league

◉ Confederations cup

◉ Premier league

◉ FA cup.

Timu zilizofanya vizuri kwenye mashindano hayo kwa ujumla (sio shindano moja pekee) hu-score points nyingi zaidi. Pia ubora wa ligi husika huchangia alama kwa timu.

Kwa nini USM Alger amechukua kombe halafu akazidiwa na Yanga? Ni kwa kuwa kwenye mashindano mengine kama ligi kuu (8) & FA hakufanya vizuri, ndiyo maana amezidiwa.

Rank zimepangwa kwa kuzingatia alama zilizokusanywa kwa mwaka 1, kuanzia 1 Septemba 2022 hadi 31 Agosti 2023.

Unafiki unakuja vipi?

Hawa IFFHS walivyotoa takwimu hapo nyuma walisifiwa sana na baadhi ya wachambuzi na mashabiki, cha ajabu wachambuzi walewale waliozisifu takwimu zao wakati ule leo hii wanazikosoa.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: