Fri, 21 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Viungo wa Simba Fabrice Ngoma na Clatous Chama wamewasili kivyao katika kambi ya Simba waliyoweka Uturuki wakijiandaa na msimu mpya 2023/24.
Ngoma ni ingizo Jipya katika kikosi cha Simba na mara baada ya kuwasili jana Julai 20, Leo ilimpasa kuanza mazoezi kabla ya kujiunga na wenzake.
Sasa wachezaji wa Simba walitumia muda huo kumkaribisha Kiungo huyo kwa staili ya kipekee wakijipanga mstari huku kila mmoja akimpiga vibao.
Tazama Video hapa chini kisha to maoni yako
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: