Tue, 27 Aug 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Yanga, Duke Abuya ameitwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Kenya kitakachozeza michezo miwili dhidi Zimbabwe ???????? na Cameroon ???????? kwaajili ya kufuzu AFCON 2025.
Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Yanga, Duke Abuya ameitwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Kenya kitakachozeza michezo miwili dhidi Zimbabwe ???????? na Cameroon ???????? kwaajili ya kufuzu AFCON 2025. Jumla ya Wachezaji walioitwa kwenye Kikosi Cha Yanga kuyatumikia Mataifa Yao ni wachezaji 10 mpka sasa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: