Fri, 1 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kipa wa Yanga Djigui Diara amejumuishwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Mali kwaajili ya maandalizi ya mchezo wa kufuzu Afcon 2023 dhidi ya Sudani Kusini Septemba 8 mwaka huu
Kipa wa Yanga Djigui Diara amejumuishwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Mali kwaajili ya maandalizi ya mchezo wa kufuzu Afcon 2023 dhidi ya Sudani Kusini Septemba 8 mwaka huu Mali ni kinara kundi G akiwa tayari ameshafuzu akiwa na pointi 12, nafasi ya pili ni Gambia wenye pointi 9, Congo pointi 6 na Sudani Kusini pointi 3.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: