Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Dau la Miquissone lawaumiza vichwa mabosi Simba SC

Jose Luis Miquissone Dau Jose Luis Miquissone

Mon, 5 Jun 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Al Ahly imemuweka sokoni wing wake Jose Miquissone akiuzwa dola 250,000 (Sh 590 milion).

Katika kumweka sokoni, Simba ndio klabu iliyopewa kipaumbele cha kuulizwa kama itamhitaji kutokana na mkataba wake wakati anauzwa kuwa na kipengele.

Simba tayari imeshaanza mazungumzo na Luis ambaye amewataka mabosi wa Simba kufika kwenye mshahara wa Dola 20,000 (Sh 47 milion) kwa mwezi ili arejee nyumbani.

Dau ilo linaonekana kuwapasua vichwa mabosi wa Simba ambao walikuwa tayari kumpa mashahara wa Dola 10,000 (Sh 24milion)

Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: