Fri, 11 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchezaji Wa klabu ya Simba Sc Clatos Chota Chama anatarajiwa kucheza mechi ya fainali dhidi ya Yanga baada ya kukosekana mechi tatu mfululizo.
Chama alifungiwa mechi tatu na Adhabu ya Shilingi laki Tano (500,000) baada ya kumfanyia madhambi mchezaji wa Ruvu Shooting Abal Kassim.
Simba Sc vs Polisi Tanzania Simba Sc vs Coastal Union Simba Sc vs Singida Fountain Gate.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: