Thu, 20 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Simba imethibitisha kukamilisha usajili wa mlinzi wa kati Hussein Kazi kwa kandarasi ya miaka miwili kutoka Geita Gold.
Klabu ya Simba imethibitisha kukamilisha usajili wa mlinzi wa kati Hussein Kazi kwa kandarasi ya miaka miwili kutoka Geita Gold. Kazi amewahi pia kuhudumu katika Klabu ya Mbeya Kwanza ya jijini Mbeya ambayo ilishuka Daraja misimu miwili iliyopita.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: