Thu, 24 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Uongozi wa klabu ya KMC umeachana na aliyekuwa Mlinzi wao wa kati Ibrahimu Ame aliepata kupita katika vilabu vya Coastal, Simba SC na Mtibwa.
Ame amekuwa nje ya Uwanja kwa muda mrefu akijiuguza jeraha la goti kitu ambacho kilisababisha klabu yake kukosa huduma yake.
Sasa Rasmi hatokuwa sehemu ya Wachezaji wa klabu ya KMC kwa msimu huu wa 23/24 baada ya kandarasi yake kuisha.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: