Mlinzi wa Simba SC, Che Fondon Malone ameripotiwa kupata ajali ya gari usiku wa kuamkia leo maeneo ya Shule ya Feza Mikocheni wakati akitokea Airport alipokwenda kupokea mizigo yake.
Kwa mujibu wa mashuhuda, nyota huyo raia wa Cameroon hajaumia maana alikuwa amekaa siti ya nyuma lakini dereva wake ndio amepata shida kwenye mkono.
Kwa Taarifa zaidi juu ya tukio hilo endelea kuwa karinu na Tanzaniaweb.
Tazama Video iliyohusisha ajali hiyo hapa chini;
Hii ndo video ya ajali iliyo muhusu Che Malone. Tunachotakiwa kufanya ni kuwaombea kwa Mwenyezi Mungu wote walio husika katika ajali hiyo wapate hali ya uponyaji ????????pic.twitter.com/mHbL8CkA1N
— ???????????????????? ???????????????????????????????????? (@SimbaScTweet) September 24, 2023