Bao la pili la Yanga kwenye nusu fainali ya pili Kombe la Shirikisho Afrika lililofungwa na Kenedy Musonda akipokea pasi ya Fiston Mayele katika uwanja wa Royal Bafokeng walipocheza dhidi ya Marumo Gallants limeshinda bao bora la wiki kwenye michuano hiyo. Katika mechi hiyo bao la kwanza lilifungwa na Fiston Mayele.
Yanga inakuqa tuzo yao ya pili katika hatua hiyo baada ya mechi ya kwanza kwa Mkapa Azizi KI alibeba tuzo hiyo waliposhinda mabao 2-0 huku la pili likiwekwa na Bernard Morrison.
Kennedy Musonda's goal for Young Africans vs Marumo Gallants in the second leg of the CAF Confederations Cup semi-final. ✨pic.twitter.com/288GhOtW7y
— TR Sportzm (@TRSportzm) May 17, 2023