Thu, 20 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya Klab ya Yanga kumtambulisha Kiungo wao Mpya kutoka ASEC Mimosas ya Ivory Coast Pacome Zouzoua.
Taarifa zinasambaa kuwa siku ya leo Julai 20 atatambulisha chuma kingine cha moto Unaambiwa,ili kufunga Usajili wao, Bado wawili
Mzawa (Simon Msuva)
Mshambuliaji wakigeni (Cameroon/Ivory Coast)
Lakini kuna zaidi ya 60% Mshambuliaji wa mpya wa Yanga ajae akawa ni raia kutoka Cameroon.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: