Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

#BREAKING: Simba wamtambulisha Onana usajili mpya

Onana Usajili Willy Essomba Onana

Wed, 5 Jul 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Uongozi wa klabu ya Simba, umefikia makubaliano ya kumsajili kiungo mshambuliaji wa kimataifa, Willy Essomba Onana (23) raia wa Cameroon kwa mkataba wa miaka miwili.

Onana amesajiliwa kutoka Rayon Sports ya Rwanda ambapo msimu uliopita aliibuka mchezaji bora wa ligi kuu nchini humo.

Mchezaji huyo ndiye ingizo jipya la kwanza kwenye kikosi cha Simba ikiwa ni sehemu ya maboresho kuelekea Msimu mpya wa Ligi 2023/24.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: