Mon, 14 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Makamu wa Rais wa klabu ya Yanga, Arafat Haji amewapa moyo mashabiki wa Yanga baad ya timu hiyo kupoteza mchezo wa Ngao ya Jamii 2023 dhidi ya Simba kwa mikwaju ya penalti 3-1 katika Uwanja wa Mkwakwani.
Msikilize ArafatHaji akizungumza kwa urefu;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: