Mon, 14 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally akizungumza baada ya timu yake kushinda Ngao ya Jamii 2023 dhidi ya Yanga katika Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.
Ahmed ametamba kuwa kukosekana kwa mlinzi wa Inonga Baka hakikuwa kikwazo cha kubeba Kombe kwani Simba kwa sasa imekamilika na haina haja ya kumtegemea mchezaji mmoja.
Msikilize kwa urefu Ahmed akitamba kwenye Video hapa chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: