Mon, 25 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Watu watatu ambao ni Denis Philbert (40), Ayoub Benjamin (35) na Fravius Babilige (30) wakazi wa Kata ya Katoma wilaya ya Bukoba mkoani Kagera wamefariki dunia baada ya kupata ajali kwa kutumbukia kwenye shimo la choo wakati wakitoa mbao zilizokuwa zimetumika kujengea choo hicho.
Watu watatu ambao ni Denis Philbert (40), Ayoub Benjamin (35) na Fravius Babilige (30) wakazi wa Kata ya Katoma wilaya ya Bukoba mkoani Kagera wamefariki dunia baada ya kupata ajali kwa kutumbukia kwenye shimo la choo wakati wakitoa mbao zilizokuwa zimetumika kujengea choo hicho.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: