Menu ›
Burudani
Thu, 7 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwaka 2012, staa wa Bongo Fleva, Alikiba alimshirikisha Komando Lady Jadee kwenye wimbo wake "Single Boy" baada ya hapo kwa zaidi ya miaka 10 Alikiba hajawahi kumshirikisha Mwanamuziki wa kike katika nyimbo zake.
Hatimaye hivi sasa Alikiba amemshirikisha tena Mwanamuziki wa kike kwenye wimbo wake ambao umetoka leo saa tano asubuhi.
Wimbo unaitwa "Yalaiti", amemshirikisha mkongwe wa taarabu Sabaha Salum.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: