Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Hafiz Konkoni atajwa Ihefu

Konkoni 177185 Mshambuliaji wa Yanga, Hafiz Konkoni

Sat, 13 Jan 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Klabu ya Ihefu imeanza mchakato wa kuipata saini ya mshambuliaji wa klabu ya Yanga, Hafiz Konkoni katika dirisha hili dogo la uhamisho la msimu huu.

Hafiz Konkoni ameshapewa taarifa na klabu ya Yanga kuwa anahitajika kutolewa kwa mkopo raia huyo wa Ghana.

Ihefu wanataka kuimarisha kikosi chao na wanapambana kuinasa saini ya mshambuliaji wa kimataifa wa Ghana, Hafiz Konkoni katika dirisha hili.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: