Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

TV

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Mwamuzi Hance Mabena afungiwa miezi mitatu

Hance Mabena Afungiwa Mwamuzi Hance Mabena

Tue, 8 Oct 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Mwamuzi Hance Mabena amefungiwa miezi mitatu kuchezesha ligi kuu ya NBC baada ya kutoa penati kwa TZ Prisons ambayo haikuwa Sahihi.

Mwamuzi Hance Mabena amefungiwa miezi mitatu kuchezesha ligi kuu ya NBC baada ya kutoa penati kwa TZ Prisons ambayo haikuwa Sahihi. TZ Prisons walicheza dhidi ya Fountain Gate na walifaidika na maamuzi ya mkwaju wa penati kwa kushinda mabao 3-2 dhidi ya Fountain Gate FC, pale Sokoine Mbeya.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: