Menu ›
Habari
Fri, 18 Oct 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ramadhan Kayoko (DSM) ndiye mwamuzi atakayechezesha mechi ya Kariakoo Derby siku ya kesho Oktoba 19 kati ya Simba dhidi ya Yanga.
Ramadhan Kayoko (DSM) ndiye mwamuzi atakayechezesha mechi ya Kariakoo Derby siku ya kesho Oktoba 19 kati ya Simba dhidi ya Yanga. Kayoko atasaidiwa na Mohamed Mkono kutoka Tanga na Kassim Mpanga kutoka Dar es Salaam, huku mwamuzi wa akiba akiwa ni Tatu Malogo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: