Menu ›
Habari
Fri, 18 Oct 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mlinzi wa kati wa Simba Abdulrazack Hamza "Spear Jr" amerejea mazoezini baada ya kupona majeraha yake.
Jana alihusika kwenye mazoezi na leo Oktoba 18 atafanya mazoezi full kwaajili ya mechi ya kesho dhidi ya Yanga.
Kucheza kesho bado ni 50/50.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: