Fri, 26 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchezaji wa Brazil anayekipiga katika Klabu ya Real Madrid inayoshiriki Ligi ya La Liga, Vinicius Junior amewashukuru wote walioungana nae kupinga vitendo vya kiubaguzi nchini Hispania
Hii ni baada ya dhuruma kubwa (vitendo vinavyoaahiria ubaguzi wa rangi) iliyojitokeza siku chache nyuma dhidi yake walipokutana na timu ya Valencia.
Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii Twitter ameandika “Los amo!!! gracias, gracias y gracias!” akimaanisha anawashukuru tena na tena kwa kujumuika nae kupinga vitendo hivyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: