Taarifa zinazovuma hivi sasa katika Klabu ya Simba zinadai kuwa, Klabu ya RS Berkane ya nchini Morocco ipo mbioni kukamilisha dili la kumsajili mlinzi wa Simba SC, Henock Inonga Bacca kwenye dirisha dogo la usajili mwezi January.
Taarifa zinazovuma hivi sasa katika Klabu ya Simba zinadai kuwa, Klabu ya RS Berkane ya nchini Morocco ipo mbioni kukamilisha dili la kumsajili mlinzi wa Simba SC, Henock Inonga Bacca kwenye dirisha dogo la usajili mwezi January. Inaelezwa tayari Rs Berkane wameshafikia makubaliano ya maslahi binafsi na mchezaji na tayari wamefikia dau lililohitajika na Waajiri wake Simba SC.