Klabu ya Simba SC inaelezwa kwamba tayari wameshaanza maandalizi ya dirisha dogo la Usajili na inatajwa kuwa kiungo wa ulinzi, Banfa Sylla kutoka klabu ya MAS Fes ya Morocco ndiye anayepigiwa chapuo la kutua Msimbazi ili kuongeza nguvu eneo la ulinzi
Klabu ya Simba SC inaelezwa kwamba tayari wameshaanza maandalizi ya dirisha dogo la Usajili na inatajwa kuwa kiungo wa ulinzi, Banfa Sylla kutoka klabu ya MAS Fes ya Morocco ndiye anayepigiwa chapuo la kutua Msimbazi ili kuongeza nguvu eneo la ulinzi Tangu kuondoka kwa Thadeo Lwanga, Simba haijampata kiungo mkabaji halisia hivyo kumpata huyu itakata kiu yao.