Thu, 16 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa klabu ya Simba Jean Othos Baleke huenda akatimka klabuni hao kwenye kipindi cha dirisha dogo la usajili la mwezi January barani Ulaya.
Baleke anatajwa kujiunga na klabu moja inayoshiriki moja ya Ligi nchini Ufaransa.
Iwapo Baleke ataondoka, basi Simba watapaswa kusaka Mshambuliaji mpya kuziba pengo la Straik huyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: