Wed, 24 Jul 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Uongozi wa klabu ya Simba SC chini ya Mwenyeketi wa klabu Murtaza Mangungu wametambulisha Jezi mpya leo Julai 24, 2024 za msimu wa 2024/25 katika Mbuga ya Mikumi, Mkoani Morogoro.
https://cdn.tanzaniaweb.live/imagelib/pics/489/48942318.jpg">
Simba SC wametambulisha jezi za aina tatu nyumbani nyekundu, ugenini nyeupe na blue ni jezi mbadala (Third Kit).
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: