Thu, 15 Aug 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Simba imemuaga rasmi kiungo mshambuliaji wake, Willy esomba Onana raia wa Cameroon ambaye ameitumikia klabu hiyo kwa msimu mmoja.
Onana alikubali kuachwa ili klabu iweze kupata nafasi ya golikipa mpya Mousa Camara raia wa Guinea aliyeongezwa kikosini hapo.
Aidha, ujio wa mshambuliaji mpya Leonel Ateba usiku wa leo utamuondoa golikipa Ayoub Lakred.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: