Fri, 21 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Simba inaungana na Klabu APR ya nchini Rwanda kuiwania saini ya mchezaji Milton Karisa (28) ambaye anatarajiwa kuondoka katika Klabu yake ya Vipers.
Klabu ya Simba inaungana na Klabu APR ya nchini Rwanda kuiwania saini ya mchezaji Milton Karisa (28) ambaye anatarajiwa kuondoka katika Klabu yake ya Vipers. Karisa anaweza kucheza katika nafasi tatu akiwa uwanjani, anaweza kucheza kama winga pande zote mbili pamoja na namba tisa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: